Zabibu Kiba Afunguka Kuikacha Ndoa Yake Sauzi na Kurudi Bongo

Dada wa staa wa Bongo fleva nchini Ali Kiba, Zabibu Kiba amefunguka na kuanika sababu za kumuacha mume wake Abdi Banda nchini Afrika ya Kusini na kuamua kurudi Tanzania mwenyewe.

Zabibu na mume wake Abdi Banda walihamia SA ambako anacheza soka la kulipwa, miezi michache iliyopita Mara tu Baada ya kufunga ndoa lakini ghafla Zabibu ameonekana kurudi Tanzania na kumuacha mumewe SA.

download latest music    

Kwenye mahojiano aliyofanya na Gazeti la Risasi Vibes, Zabibu alisema amekuwa akipata maswali mengi kutoka kwa watu mbalimbali kwamba imekuwaje amemwacha mumewe Afrika Kusini na kurudi Bongo ambapo alisema amerudi kwa sababu kibali cha kuishi nchini humo ‘viza’ kiliisha muda wake.

Sioni kama kuna tatizo mimi kurudi mapema Bongo maana ndiyo nyumbani kwa wazazi ila sababu kubwa ni kwamba Kusini na kurudi Bongo ambapo alisema amerudi kwa sababu kibali cha kuishi nchini humo ‘viza’ kiliisha muda wake.

Viza yangu ilikuwa hainiruhusu kuendelea kukaa Afrika Kusini kwa muda mrefu kwa hiyo kuna mambo nimerudi kuyaweka sawa kisha nitarudi tena kwa mume wangu kuendeleza mahaba kama kawaida”.

 

About this writer:

Diana

I am a hard working young woman Aspiring writer with dreams larger than life itself, always living by the principle that live today like there is no tomorrow.