Zabibu Kiba Amtaka Wifi Yake Awe Mvumilivu Kutokana na Kazi Ya Ali Kiba

Jana ilikuwa ni siku ya kihistoria kabisa kwani ilikuwa ni ndoa ya Ali Kiba na mpenzi wake Amina ndoa iliyokuwa gumzo jiji zima.

Ndoa hiyo ilifungwa nyumbani kwa wazazi wa  Amina huko Mombasa nchini Kenya na baadae sherehe ilifanyika usiku katika ukumbi wa Diamond Hall na kurushiana live Azam Tv.

download latest music    

Dada wa Alikiba amayejulikana kama Zabibu Kiba amemfungukia mazito wifi yake huyo na kumtaka kikubwa awe mvumilivu hasa kwa sababu kazi ya Ali Kiba ni Mwanamuziki kazi yenye changamoto:

Mimi namkaribisha Amina nyumbani namkaribisha kwenye familia yetu kikubwa ni uvumilivu hasa kwa sababu anakuja kazi ya mumewe na changamoto ni nyingi na nafikiri alishaanza kukutana nazo na sidhani kama zitamshinda na sisi kama familia tumemkubali na tu nampenda kama alivyopendwa na mume wake 

About this writer:

Diana

I am a hard working young woman Aspiring writer with dreams larger than life itself, always living by the principle that live today like there is no tomorrow.