Zari Amkumbuka Ivan Katika Kumbukumbu Ya Kifo Chake

Zarinah Hassan maarufu kama Zari The Bosslady amezidi kumkumbuka aliyekuwa mume wake Ivan Semwanga aliyeaga dunia mwaka jana tarehe 25 mwezi wa tano.

Ivan ametimiza mwaka mmoja Tangu alipofariki mwaka jana nchini Afrika ya Kusini kutokana na maradhi ya moyo.

download latest music    

Zari alijaliwa kupata watoto watatu wa kiume na marehemu Ivan na walikuwa katika Mahusiano kwa miaka mingi sana.

Zari alianza kumuenzi Marehemu Ivan tangu jana ambapo aliandika ujumbe huu Kwenye ukurasa wake wa Instagram:

 

About this writer:

Diana

I am a hard working young woman Aspiring writer with dreams larger than life itself, always living by the principle that live today like there is no tomorrow.