Zari The Bossy Atangaza Kuachana na Diamond Rasmi

Mwanamama mjasiriamali na mwenye jina kubwa Tanzania na Uganda pia Zari The Bossy ametangaza rasmi kuachana na mzazi mwenzie  Diamond Platinumz kwa madai kuwa amekuwa akisikia habari na tetesi nyingi zinazomkabili mzazi mwenzie huyo hivyo haoni haja ya kuendelea nae.

Ikiwa jana ni siku ya waapendanao inayosherekewa kila mwaka kwa wale wanaopendana, Zari alimau kuonyesha sikitiko lake la moyo kwa kuonyesha kuwa upande wake yeye hakuna Valentines bali ni maumivu  ya mapenzi yaliyokuwa yakimsumbua kwa muda mrefu.

download latest music    

Maamuazi ya Zari yanakuja baada ya kuwa na habari nyingi mbaya zinazoendelea katika mitandao kuhusu mwanaume aliyekuwa nae katika mahusiano kuwa na mahusiano na wanawake wenmgine wengi tofauti tofauti , na kwa muda mrefu mwanamama huyo hakutaka kuongelea swala hilo hadi pale jana alipoona kuwa ndio muda muafaka wa kutangaza rasmi ingawa kuna wengi waliosema kwa hawezi kuchukua uamuzi huo kwa sababu mara ya kwanza diamond alipotembea na Hamisa Zari  aliweza kumsamehe.

katika ukurasa wake wa instagram , huku akiweka ua jeusi kuashiria hakuna upendo, Zari The Bossy alisema amuamua kufanya hivyo ili kulinda heshima na utu wake kwa jamii inayomzunguka na kumjua kama bossy lady, lakini hataendelea kuwa mama bora kwa watoto wake wanne wa kiume na mmoja wa kike na kuwafundisha heshima siku zote.

Kwa kuongezea Zari anasema kuwa siku zote ataendela kuwa Bossy Lady na kuwahamasisha wengine kufata njia zake za kufanikiwa.Pia katika maisha yake alishakutana na changamoto nyingi lakini ndizo zinzazomfanya hazidi kukomaa.

Katika yote Zari anasema kuwa pamoja na kwamba anaachana na Diamond,haimaanishi kuwa yeye sio baba wa watoto wake bali wanaachana kimahusiano lakini wataendelea kuwa na mahusiano kama wazazi.

Understand that this is very difficult for me to do.There have been some multiple rumors some with evidence floating all around medias  in regards to Diamond cheating’s and I Sadly  have decided  to end my relationship  as my  RESPECT,INTEGRITY,DIGNITY  and WELL BEING  can not be compromised.we are separate as partner and not as  parents.This does not reduce me a self-made as individual and as a caring mother and the bossy lady you have become to know. I will continue to build as mogul, I will inspire the World of women  become boss ladies too. I will teach my four  son to always respect women and teach my daughter what self-respect means.Unlike I have been in entertainment industry for 12 years  and through all my challenges   I come out with victory because  I am a winner  and so are  all of you Zari  supporter.HAPPY VALENTINES

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.