Zari: Majizzo ni baba wa mtoto wa Hamisa sio Diamond

Image: Zari

Kumekuwa na tetesi kwenye mitandao ya kijamii na mashabiki  wanajiuIiza  maswali je Diamond ni  baba halisi wa mtoto wa Hamisa?Ingawa Diamond amekataa tangu mwanzoni kuwa mtoto yule sio wa kwake licha ya Hamisa kumpa mtoto jina la baba ake na  Diamond “Abdul Naseeb”.

Katika mahojiano aliyofanya Zari  nchini Uganda amedai kuwa Diamond sio baba wa mtoto wa Hamisa na amekataa mara nyingi bali baba wa mtoto ni Majizzo,  ambaye tayari ni baba wa mtoto wa hamisa, amedai kuwa sababu pekee inayomfanya majizzo  akatae mtoto ni kwasababu  anamuogopa Lulu Michael ambaye ni mpenzi wake, na pia amedai kuwa Majizzo ndiye anayemlipia  kodi ya nyumba na kumuhudumia kila kitu. Lakini  Zari amefunguka kuwa amekwisha mwambia Diamond kama mtoto atatokea akawa  wake {za diamond} basi itabidi amuhudumie na amkubali ingawa hawezi kumlazimisha kama akikataa mwenyewe.

download latest music    

Diamond amekuwa akihusishwa kimapenzi na Hamisa kwa muda mrefu licha ya yeye kuendelea kukataa. Hamisa  hajamuweka wazi mpaka sasa baba wa mtoto wake, licha ya kuwa kutangaza arobaini ya mtoto itakayofanyika hivi karibu ambapo bila shaka baba wa mtoto atajulikana.

 

About this writer:

Diana

I am a hard working young woman Aspiring writer with dreams larger than life itself, always living by the principle that live today like there is no tomorrow.