Zijue Sababu za Baadhi ya Wanawake Kuolewa Mapema.

Kuolewa ni moja ya jambo ambalo ni muhimu sana katika maisha hasa kwa mwanadamu aliekamilika, lakini unapozungumzia ndo unazungumzia mambo mengi hasa tabia, mapenz na masiah ya nyuma kwa jinsi ulivyolelewa kunaweza kukupelekea katika mapenzi.

Wengine wamekuywa wakikataa kuolewa kwa sababu tu ya maumivu waliowahi kuyapata katika mapenzi, lakini pia wengine hawaolewi kutokana na tabia ngumu za kibinadamu zinazowafanya washindwe kupata wenzi wenye kudumu nao mpaka kupelekea ndoa.

download latest music    

Lakini pia yapo mambo yanayoweza kuchangia kupata ndoa mapema , ingawa kama Mungu anapanga muda mufaka hata hizi sababu haziwezi kuwa kitu kwake.

Hana tamaa ya pesa

kwa jamii za sasa hivi wanawak wengi wamekuwa wakitanguliza pesa kuliko kitu kinhgine, hakuna asiependa pesa lakini iwe   kwa kiwango cha kusaidia katika mahusiano na isionekne kuwa mmoja yupo kwa ajili ya mwingine tu.

Awe anapenda Watoto.

sio lazima watoto wawe wa kwao, lakini angalia mara kwa mara anapokutana na watoto wa rafiki zake au hata mtaani, anaweza kuwa mtu wa kununulia zawadi watoto wa rafiki zake au jirani lakini pia pma hata maongezi yake  juu ya muonekano wa watoto anaokutana nao.

Heshima kwa kila mtu.

Jaribu kuangalia kam mwezi wake anaheshimu kila mtu, mtoto kwa mkubwa, mwenye nacho na yule asiekuwa nacho pia, mwenye kujari maisha ya wengine na kuonewa huruma wengine hata kama yeye hana kitu.

Anajishusha

Angalia, kuna wanawake wanapenda sana usawa kwa kila kitu na hapendi kuwa chini kwa lolote lile, katika ugomvi au hata mabishano na marafiki anaweza kutaka kuwa mshindi kila mara, huyo ni ngumu kuwa na mtu anaeweza kukaa nae katika mahusiano.

 

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.