“Ana watoto wanne kila mmoja na mama yake” Ali Kiba’s mom and sister pile pressure on him to marry Jokate to take care of his kids

Ali Kiba has four children with four different baby mamas. The singer’s mother wants her son to settle down with Jokate so that she can take care of his kids.

Ali Kiba’s mother is adamant that her son is ripe for marriage since he had already utilized his youth. While speaking to Global Publishers, the singer’s mother said that her son needed to marry so that his wife could take care of his four kids.

“Mimi kama mzazi, ninaona muda wa Ali kuoa sasa umefika maana kama ni maisha ya ujana amesha­fanya kila kitu, ana watoto wanne na kila mmoja na mama yake, ni vi­zuri sasa akachukua mke ili aweze kuwalea hawa watoto wake. Mimi kama mzazi huu ndiyo msimamo wangu, ninamtaka ata­fakari na kuchukua uamuzi mara moja, maana ingawa siyo vizuri kwa mzazi kumpangia mtoto wake cha kufanya, lakini inapofikia suala la kuoa ni muhimu ukasimama na ku­toa msimamo, wakati wa kuoa ume­fika,” Ali Kiba’s mother said.

Jokate Mwegelo

Meanwhile Ali Kiba’s sister Zabibu stated that her brother should marry Jokate Mwegelo – popular Tanzanian model-cum-actress.

Zabibu explained that Jokate had all the qualities to make the perfect wife for Ali Kiba. Zabibu also threw her weight behind Jokate because she is her friend.

“Mimi namchukulia Jokate kivingine kabisa, ni msichana mwenye busara zake na amekuwa kama mshauri wangu wa karibu mno, ningetamani angekuwa mke halali wa kaka yangu kwa sababu ana vigezo vyote vya kuwa hivyo. Kwa kuwa kaka yangu bado hajaoa, ninaomba kila kukicha na­fasi hiyo ichukuliwe na Jokate kwa sababu ni mwanamke anayestahi­li kuipata nafasi hiyo ya kuwa wifi yangu,” Zabibu said.

 

About this writer:

Martin Oduor

Ultimate keyboard ninja dedicated to bringing you the juiciest stories on blogosphere