Bongo actress Suzan Michael waiting in line for Diamond and Hamisa Mobetto to split so she could have him for herself (Photos)

Suzan Michael alias ‘Pretty Kind’ is convinced the recent drama in Madale is a clear revelation Diamond and Hamisa Mobetto’s relationship won’t last.

The Bongo actress told Global Publishers that she was ready to do anything to take Hamisa Mobetto’s position. Pretty Kind revealed she has been salivating after Diamond for a long time, and now she thinks it’s time to go after him.

She explains that she is convinced now more than ever that she has a chance to take Diamond from Mobetto because Sanura Kassim no longer wants Mobetto in Madale.

“Nitamng’oa tu Diamond kwa Mobetto kwa sababu nampenda sana, ananikosesha usingizi, huyo Mobeto asidhani amefika. Wakati fulani niliona ni ngumu kumpata Diamond kwa kuwa mama yake alikuwa akimpenda sana Mobetto lakini sasa hivi naona njia nyeupe baada ya Mobetto kuchezea kichapo,” said Pretty Kind.

Diamond loves me

Pretty Kind claims she has gut feeling that Diamond also loves her. She claims she fell in love with the ‘African Beauty’ hit maker because they have chemistry.

“Nimejikuta tu navutiwa naye na kwa ninavyoona hata yeye ananipenda kwani tunaendana kiaina,” Pretty explained.

Pretty Kind says Diamond's mother no longer wants Mobetto, she is convinced she has a chance to woo him now more than ever
Pretty Kind says Diamond’s mother no longer wants Mobetto, she is convinced she has a chance to woo him now more than ever

Asked whether she had all it takes to woo Diamond, the Bongo actress asserted that she was such a charmer who had never failed to get the men she wanted.

“Hahaaa! Swali lako linanifanya nicheke kwa sababu hunijui vizuri, nitamng’oa tu na mtashangaa. Hao walioshindwa ni wao, mimi nitaweza tu, nina mikakati kabambe kwani nikiamua langu, lazima liwe. Wanaonijua wananielewa. Waulize wasichana niliokuwa nao India (alikuwa kahaba India). Hata simuogopi huyo Mobetto, angekuwa ameolewa sawa lakini hajaolewa na wala Diamond hajawahi kutangaza mpenzi au mchumba wake kwa sasa. Mimi nasema, wasionijua watanijua,” Pretty Kind boasted.

Pretty Kind when she was in India, she used to be a call girl there
Pretty Kind when she was in India, she used to be a call girl there

 

 

 

About this writer:

Martin Oduor

Ultimate keyboard ninja dedicated to bringing you the juiciest stories on blogosphere