“Diamond anajiover dose” Babu Tale finally comes out clean as he promises to find a doctor for the singer

Diamond Platnumz is one man who has shaken the East African entertainment industry and also managed to put on the map.

With this hard work, Diamond Platnumz has found himself making moves that are now affecting his health and physical appearance as seen on his latest photos.

Speaking during an interview with Wasafi TV Babu Tale finally confirmed that Diamond Platnumz has been over dosing himself with work and rarely gets enough sleep.

He however went on to promise that he will soon get a doctor to help the singer who clearly needs to take some rest.

Diamond Platnumz Hapumziki Kabisa, Tunatafakari Kumtafutia Daktari wake mwenyewe tu, Aangalie Afya yake maana anajiover dose na kazi. Diamond anaanda Nguo yake ya kuvaa mwenyewe, anajistyle mwenyewe, video zake anafanya mwenye muda wa kuedit. Ni mtu ambaye anafanya vitu vingi, kama tunekuwa nchi zilizo endelea basi Diamond anahitaji Doctor wake. Diamond anajiover dose. Juzi kumekuwa na video iliyosambaa ukimuonyesha Diamond kama mtu ambaye hayuko sawa, lakini uweli ni kwamba ile video ilichuliwa wakati anawatch Rayvanny akiperfom na huku anajibu maswali, nao watu wakatafsiri kivyao.

Viral video

This comes after a viral video of Diamond Platnumz showing withdrawal signs emerged on social media leaving many assuming that he was using hard drugs.

Babu Tale however cleared the air saying;

Diamond Platnumz schedule

Of course hawezi kuwa sawa maana anafanya vitu vingi kwa wakati mmoja. Msani wetu yulko na shows nyingi sana, unaweza ukaona kuwa ni high dose tunampa , lakini wanasema kama ni muda wako wakutafuta basi tafuta. Tunapambana na wakati tunapambana tunafyonza damu ya yule dogo. So we need someone ambaye atatusaidia na huyo ni doctor labda

About this writer:

Pauline Syombua

Content Developer IG: Kermbua