Diamond Platnumz launches new Talent search show

Days after announcing Wasafi Festival, Tanzanian singer Diamond Platnumz has made yet another announcement concerning Wasifi.

The singer has launched a new talent show set to premier on his TV channel Wasafi TV.

On social media, Diamond said the show dubbed “The Next MVP” will be airing every Friday and will be about nurturing young talent.

Here is what he’s announcement said:

“Kama nilivyoahidi mwanzo kuwa leongo kuu la kuanzisha Vyombo, Bidhaa vitu mbalimbali ni kuona ni namna gani naweza kutengeneza Fursa za Kuwashika Mkono, ama kuwakomboa vijana wenzetu mbalimbali wenye uwezo lakini pengine labda hawajathaminiwa, ama kupewa nafasi ya kuonyesha Taaluma walizojaaliwa na Mwenyez Mungu….

“Hivyo Ijumaa hii tunazindua Rasmi kipindi kinachoitwa #TheNextMVP kipindi ambacho kitakuwa kina wapa nafasi vijana mbalimbali ambao tunaamini wanauwezo mkubwa na wakipewa Support Watakuwa wawakilishi ama Wapepwrusha bendera vyema wa Sanaa zetu na Taaluma zetu mbalimbali tulizojaaliwa Tanzania…

“Tafadhali Usikose Kutazama ijumaa hii Saa Mbili na Nusu Usiku ndani ya @WasafiTv … pia nisaidie kuwatag Wana wote ambao Unaamini wanakipaji mtaani ili @wasafitviwaone……. #SanaaImezaliwaUpya#HiiNiYetuSote” shared Diamond.

Alikiba

On Monday the singer also announced that he’s planning to start Wasafi Festival on November 24 and even tried bringing in Alikiba who turned down the offer saying he wouldn’t be in the country at the time.

About this writer:

Pauline Syombua

Content Developer IG: Kermbua