Harmonize responds to allegations of sleeping with ex girlfriend’s daughter, Paula Kajala

After years of maintaining a low profile and scandalous career; singer Rayvanny is slowly switching to the controversial lifestyle whereby he seems to attract trouble on social media.

A while back he was arrested for sharing private photos and videos of him and new girlfriend Paula Kajala; and in less than 2 months he now accuses Harmonize of bedding the same girl.

Well, this story has left many talking on social media especially since the girl accused of sleeping with Harmonize; happens to be the daughter to actress Kajala – who is Paula’s mum.

Harmonize speaks

Well, after taking time to digest Rayvanny’s post; Konde Boy has responded through a detailed post where he wrote;

THIS ONE FROM THE BOTTOM OF MY HEART…..!!!! SIKUZOTE NAHESHIMU NA NITAENDELEA KUMUHESHIMU KILA MWANAMKE ALIEWAHI KUWA KATIKA MAHUSIANO NA MIMI NIUKWELI USIOFICHIKA NILIANZA NA (JACK ) THEN (SARAAH) KISHA (KAJALA) KILA 1 KWA WAKATI WAKE ….!!! NA KWA HAKIKA HAWA NDIO WANAWAKE WALIONIFANYA LEO HII NIKAWA (HARMONIZE ) KWA PAMOJA TUMEPITIA MAZURI MENGI NA MABAYA PIA ….!!! MARA NYINGI SIZIANGALII TOFAUTI PEKE…!!

According to Harmonize, he has only publicly dated 3 women who he continues to respect despite the ongoing drama.

NAANGALIA ZAIDI NYAKATI ZA FURAHA TULIZO PITIA NDIOMANA SIJAWAHI KUMDHARAU AU KUMUONGELEA VIBAYA YEYOTE KATI YAO ITOSHE KUSEMA NAWAHESHIMU NA KUWATHAMINI NA NAAMINI NI ZAIDI YA MARAFIKI NA NDUGU NIOWAHI KUWA NAO TOFAUTI HUTOKEA MUDA WOTE BILA KUJALI NI ZA AINA GANI AU ZINATOKEA WAPI ILA MOYONI NAAMINI HAZIWEZI VUNJA UPENDO TULIO UTENGENEZA KWA MUDA MWINGI MYOYONI …..!!!!! SIKU ZOTE NITAENDELEA KUWAPA KIPAUMBELE KAMA WANAWAKE WENYE NAFASI KUBWA SANAAA UKIACHA MAMA YANGU MZAZI NINGEPENDA KUWAONA WENYE FURAHA ILI HATA KESHO NA KESHO KUTWA TUJE KUZIKANA MAAANA HAKUNA AIJUAE KESHO YAKE ….!!!!!

Gentleman or con artist?

Judging from how Harmonize chose to handle this situation makes him look like a gentleman with no negative intentions towards his exes; however there are those who claim that he may be putting up an act to maintain the clean profile.

Anyway addressing his ex Kajala, Harmonize went on to write;

Harmonize
Harmonize and former bae Kajala

NAAAMINI KUACHANA NI MWISHO TU WA MARIDHIANO KUTOKANA NA SABABU HUSIKA LAKINI SIO VITA WALA UHASAMA …!!!! AU CHANZO CHA KUDHALILISHANA NA NINGEPENDA KUONGEA ZAIDI KUHUSU (K) ….!!!!!! AMBAE NAWEZA SEMA NDIO MTU WA MWISHO KUMILIKI MOYO WANGU …!!! LEO TUPO WAZIMA LAKINI HAKUNA ANAEIJUA KESHO HAINA SABABU YA KUONYESHANA NANI NI ZAIDI NANI, KAUMIA , AU NANI KAKOSEA ZAIDI, KULIKO MWINGINE KWANI HAINA MAANA YEYOTE LAKINI PIA NI KUWAPA USHINDI WATU WALIOKUWA WAKIPAMBANA KUONA HAYA MAHUSIANO HAYAPO TENE…..!!!!!!

About this writer:

Pauline Syombua

Content Developer IG: Kermbua