Harmonize Urges Tanzanian Musicians To Use English Language In Their Songs

Tanzanian bongo flava musician, Rajabu Abdul, has advised his fellow Tanzanian artists to use English in their songs. Tanzanian kind of music is unique as it exhibits the emotional side using their local language. Most of their songs are in Swahili. This is their best known language and therefore, most of them end up being a hit only in their country. Additionally, they are known to love and support their music more than any other.

However, Harmonize wants their music to go to international levels. On his Instagram page, he advices,

Image result for about harmonize tanzania

”Nina wajibu Wa Kuwashukuru Sana waanzirishi Wa Muziki Huu, Ambao Leo Umekuwa Ajira Kwetu Naku Saidia Familia Zetu Nyingi Za Kimaskini. Lakini Pia Wadau Na Mashabiki …! Kwaku Pambana Mpaka Tasnia Ilipofikia Hapa….!

Kiukweli Haikuwa Rahisi. Lakini Pia Niseme Sanaa Yetu Imekuwa Kubwa Mataifa Kibao Wana fwata Tunacho Fanya ishara Tosha Kwamba Tunapiga Bao. Ila Nina Kaujumbe Mfupi tuu. Nadhani Ni Time Sasa Ya Kuutangaza Muziki Pamoja na Tanzania. Mbali Zaidi Tumekuwa Tukiitangaza Lugha Yetu Pendwa Muda Mwingi Mno Na Kuifanya Imekuwa Lugha Maarufu Sana Africa …!!!

Image result for about harmonize tanzania

Zaidi Na Njia Rahisi Ni Kuimba Muziki wa Kitanzania naku Shoot Video Tanzania Ila Wimbo Unaimba kwa Lugha Ambayo Dunia Nzima Inaelewa…..!!!!!! Nayo ni (ENGLISH). Ndugu Wasanii Msiwe na Wasi Tuondoeni zile Zana Za Zamani Eti ukiiimba Kizungu Ngoma Haiwezi (HIT). Watanzania Wa Leo Sio Wajana Karibia Wote…”

Harmonize is currently one of the most successful Tanzanian musicians. He uses English in some of his music. Do you agree with Harmonize on the appropriate language that they should use?

About this writer:

Dennis Elnino

Content Developer Email: [email protected]