“Kuna watu wanachanganya muziki na wengine wanaaribu muziki” Alikiba claims Bongo music has lost popular appeal 

Alikiba has come out to blame some Tanzanian musicians for the deterioration of Bongo music. The singer claims Bongo flava has lost  popular appeal.

Speaking during an interview on Nyundo ya Baruan show on Azam TV, Alikiba said that some musicians were responsible for the deterioration of Bongo music because of the quality of music they produce.

“Mwendo wa muziki wa Bongo Flava unakwenda vizuri ijapokuwa kuna watu wanachanganya tu muziki na wengine wanaaribu muziki na wengine wanakwenda nao vizuri lakini hiyo pia siwezi kuichambua kwa sababu kila mtu anakipaji chake. Wengine wanafanya kwa kujifurahisha na wengine wanafanya kwaajili ya maisha yao lakini muziki kidogo umepungua nguvu,” said Alikiba.

Awards
Alikiba
Alikiba

Kiba said he believes music awards are instrumental in improving the quality of music in Tanzania. He revealed that his company Mo Faya plans to start an award to recognize achievement in Bongo music industry.

“Ninaimani kwa sababu ya tuzo za Tanzania zilikuwa zinawahamasisha sana watu, wasanii walikuwa wakifanya kazi vizuri na kwa bidii anaamini kwamba siku moja ataitwa na atapewa heshima unajua tuzo ni heshima tu.

“Kwa hivyo changamoto kidogo imepungua, kasi imepungua ni kutokana na tuzo kwa vijana maana mtu anaweza kujitungia nyimbo yoyote ambayo haina kichwa wala miguu sababu hategemei chochote lakini pia kampuni yangu ya Mo Faya inamipango hiyo ya kuwahamasisha vijana kufanya tuzo baadae Insha allah,” said Kiba.

 

 

About this writer:

Martin Oduor

Ultimate keyboard ninja dedicated to bringing you the juiciest stories on blogosphere