Revealed: Nandy´s love affair with media mogul was top secret for fear of public disapproval

Tanzanian songstress, Nandy has previously graced the dating scene with the late, Ruge Mutahaba whose details were kept secret for fear of disapproval.

https://www.instagram.com/p/BxKLh9tAFIW/

Up and Close with Millard Ayo, the youthful talent expressed:

Nilikataa kwa sababu hatukupenda mahusiano yetu kwa sababu I know ingekua iko open ingekuwa ni more worse than hata hivo walivyokuwa wamejua kidogo.

Kuna watu ambao wangeona ni sawa lakini wengi hawangeona ni sawa.

So tulikuwa tunajaribu sisi wote wawili kutengeneza njia ya maisha yetu binafsi ili kufikia lengo letu.

https://www.instagram.com/p/Bw6TXN0gYP3/

The late media mogul had been in previous relationships whose publicity might have torn them all apart and Nandy was trying to avoid that.

Sio hofu ya mziki ama kazi katika maisha yetu.

Tulikuwa tayari tumeshapanga maisha tunavyoyaendesha kuanzia mziki wangu na position yake na hata familia ya clouds na familia zetu.

Lakini kikubwa tumeona madhara, especially yeye ndiye aliweka mahusiano yake wazi ilikuwa ina maneno drama kipindi hata siko naye nilikuwa naona.

Kwa hivo hatukutaka hio lifestyle iendelee tena kwenye maisha yetu.

Background

Ruge Mutahaba remains to be remembered having been the co-founder and Programs Director at Clouds Media Group.

He battled Kidney failure for close to 6 months before passing on while undergoing treatment in South Africa early in the year, aged 49.

Nandy notes that the wealthy founder was a backbone to her dreams and massive growth who gave her a heart to fight.

https://www.instagram.com/p/BwZFmfCA_sf/

For her, the late Ruge was a blessing in her life, her bossom friend and everything meaningful in her life.

It was until his demise that the world came into terms with her undisclosed relationship to the media mogul.

About this writer:

Gloria Katunge