Muna Love warned by Tanzania Music Foundation for not completing divorce 

The Tanzania Music Foundation has warned gospel singer Muna Love who is currently in Kenya to preach.

According to the foundation, the singer needs to complete her divorce first from the father of her late son Casto Dickson. The singer was on the headlines a few weeks ago after her son’s death which saw his ex-lover and husband claim paternity of the boy.

According to Global Publishers, the foundation’s President Dr. Donald Kisanga explained that they have just heard stories about the two despite seeing them at every gospel event together.

“Tumekuwa tukisikia tu kwamba Joel na Muna wanaishi kinyumba lakini bado hatujapata ukweli wa hili jambo maana ni muda mrefu tunawaona wako kwenye kila huduma pamoja nasi tunawachukulia ni marafiki tu.” he said.

Take actions

He went on to add that they are currently investigating the case and if  it’s true, she will be barred from the foundation and from singing.

Muna love

“Sasa baada ya tetesi hizo kuzidi, kamati yetu ya maadili ipo kazini kwa sasa kufanya uchunguzi kama kweli wanaishi au walikuwa wanaishi pamoja au laa na endapo itathibitika kuwa ni kweli tutawafuta uanachama pia kuwafungia kuimba maana wanachafua waimbaji wote wa injili ambao wanaaminika ni watumishi wa Mungu.” he added.

“Tunamshauri huyo Joel kuwa makini kama huyo Muna kweli ni mke wa mtu na hajapewa talaka aachane naye hata kama ni mchumba wake kama inavyosemekana kwani akiendelea kung’ang’ania itamletea matatizo,” he said.

Grieving Bongo singer Muna Love narrates how Mercy Masika helped her throughout her son’s sickness and in death

Muna Love recently lost her son Patrick Peter who was suffering from brain tumor. The late Patrick died at Nairobi West Hospital, he was in a coma for six days.

Speaking to journalists at her home in Mbezi, Tanzania, Muna Love praised Kenyan singer Mercy Masika for helping her throughout her son’s sickness and in death.

The Bongo singer reveals that it was Mercy Masika who linked her with the best doctor at Nairobi West Hospital;

“Tulipofika Kenya tulipokelewa na Mercy pamoja na mume wake. Kisha baada ya kukaa nao wakaniunganisha na Daktari mkubwa wa watoto nchini Kenya. Hivo tukaenda kumuona Daktari aliyeitwa Dr.Bore. Daktari akatupa maelezo ya kupata huduma katika hospitali za Nairobi. Kulingana na maelezo ya Daktari tukaona tutamudu huduma ya Nairobi West. Hivyo tukiwa kwenda hospitalini ili Patrick aanze matibabu,” Muna Love narrated.

The late Patrick Peter
The late Patrick Peter
Unwavering support

Muna Love says Mercy Masika also facilitated the transfer of her son’s body to the mortuary when he finally died. She says the ‘Mwema’ hit maker also made the necessary airport arrangements to transport the body from Kenya to Tanzania for burial.

“Baada ya kupata taarifa kuwa mtoto amefariki, Mercy pamoja ma mume wake walinisaidia kupata uhifadhi wa mwili wa mtoto. Kuna wengine pia kama vile akina DJ MO, Evelyne Wanjiru walichanga fedha ili niweze kusafirisha mwili mpaka Tanzania. Walinipeleka kwa Kampuni ya Lala Salama ambayo ilipewa jukumu la kuitoa maiti Nairobi West Hospital. Tulisaini mkataba wa kushughulikia mwili wa marehemu kisha tukakata tiketi za Ndege. Sikuweza kusafiri na mwili kwa sababu za clearance kule airport,” said Muna Love.