Wema Sepetu slapped ex-boyfriend for being close with another woman 

Actress Wema Sepetu once shocked her ex-boyfriend singer Charles Gabriel “Chaz Baba” after she slapped him for being close with another woman.

The singer recently opened up to Global Publishers saying that Wema approached her demanding to know why his baby mama,  actress Husna Hudd was posting him on social media and why they are still close.

“Tulikuwa vizuri tu maana jioni tulikuwa naye pamoja kwenye kikao cha kamati ya Miaka Ishirini ya Twanga maana na yeye ni mjumbe, tunategemea kusherekea naye siku hiyo kwa sababu itakuwa ni siku yake ya kuzaliwa pia usiku huo.” he said. 

“Hakukuwa na shida yoyote. Sasa nimeshuka jukwaani naenda maliwatoni mara nikakutana naye akaanza kuniuliza kwa nini Sajenti ananiposti kwenye mitandao ya kijamii na kwa nini tupo karibu. Mimi nilimjibu kuna shida gani kwa sababu nina uhuru wa kuwa karibu na mtu yeyote yule na yeye hawezi kunipangia masharti kwa sababu si mpenzi wangu.”

Charles Gabriel “Chaz Baba”

Took it

He went on to say that he took the slap because it was a woman but if a man slapped him like that, things would have been different.

“Nilipomjibu tu hivyo nilishitukia nazabwa makofi kadhaa usoni. Kalala alikuwa karibu ikabidi amtoe. Kiukweli ni kwa sababu ni mwanamke lakini angekuwa mwanaume mwenzangu pangechimbika,” said Chaz Baba.

Wema Sepetu, Diamond Platnumz mourn Mzee Maji Moto with emotional posts 

Singer Diamond Platnumz and actress Wema Sepetu have mourned popular Tanzanian actor Amri Athuman aka Mzee Majuto who died on August 8 while undergoing treatment at Muhimbili National Hospital in Dar es Salaam.

Maji Moto, who started acting in 1958 while he was still nine-years old, was a respected actor in the country who has played a huge role in shaping up the Tanzanian movie industry.

Sad

On Instagram, Diamond mourned the actor by posting black photo while Wema wished she got a chance to act with him.

“Alipangalo Allah… I wished to work with you baba angu… Ila Allah hakupanga… Kapumzike baba angu… Mungu Mkali jamani….???… Ila kama kuteseka tu umeteseka jamani…. RIP King…” posted Wema Sepetu.

“May your Humble Soul Rest in Paradise KING?…Will always Miss and Love you??,” Diamond captioned the black image.

The veteran actor was suffering from a hernia and had been admitted to the Intensive Care Unit due to his deteriorating condition.

 

Wema Sepetu changes direction, turns down Diamond’s S.A party invite

Tanzanian socialite Wema Sepetu will not attend the highly anticipated Birthday Party organised for Diamond Platnumz’ daughter scheduled on August 17th in South Africa.

In an Instagram post, Sepetu wished Tiffah a happy birthday and went on to share why she wouldn’t attend the event.

“God Bless The Next Big Thing… Like Father Like Daughter…. On August 6th, A Star was Born…Msije mkadhani kwenye Party naenda… Wala siendi… I just wished the lil angel… Dats it…!!! #SinagaHianaMie …. Maana hamkawii” wrote Wema Sepetu.

Not welcomed

Tiffah celebrated her birthday on 6th August. Wema’s message comes just days after Zari Hassan, Diamond’s ex-wife, clearly mentioned that she wished the 30 guys picked by Diamond to attend the party would not come.

Drama on the way! Wema Sepetu, Diamond Platnumz and Zari Hassan set to meet face to face

Wema Sepetu will be meeting Diamond Platnumz’ ex-wife Zari Hassan for the first time since their controversial breakup that led many to claim Wema orchestrated it.

Diamond and Zari are currently organising a party for their daughter Tiffah Dangote in South Africa that will see several celebs and fans fly to S.A for the event.

According to Diamond’s manager, the organisation has been going on well and even promised that he will bring his family to the birthday set to gown down on August 17th.

Organisation

“Hii ni kwa ajili yenu nyinyi wote wanakamata ,Tarehe Kumi na sita tulikuwa tunafasiri watie kwenda South Africa nimetoa offer kutoka kwa Kampuni WCB Wasfi na kwaudhami wa GSM wanakamati wote tutakwenda nao south Aftrica , watalala, lakini wanakamati wawe single Single, Zamaradi nitaomba majina ya wanakamati wako kwa sababu ya Kwenda South Africa kwa ajili ya Birthday Party. Wanakamati wote mmeshawishi  sana. Offer ilikuwa tu ya watu 30 lakini kwa ajili yenu tumeongeza. Kijana wangu ameona kushirikia Pamoja” said Babu Tale. 

Wema couldn’t hide her excitement and took to social to say:

On behalf on Wanakamati wote I will like trosay Thansks to Wasafi Compnay .maanake umetusprprise sana kwa hili lakini asante sana. We are looking forward for Tiffah’s Bithday” said Wema Sepetu.

Other actresses expected to join Wema on her trip to South Africa include Shamsa Ford, Shilole, Irene Paul, Irene Uwoya, Lamata, Kajala Masanja.

Idris Sultan angers girlfriend after celebrating ex-lover Sepetu is not going to jail 

Tanzanian actor turned comedian Idris Sultan was happy that Wema Sepetu won’t go to jail after she managed to pay a Ksh 1 million bond after she was arrested with drugs.

Idris’ girlfriend, however, wasn’t so impressed with his move.

How could he?

“Wa sultan hawakai mbali na sultan. Kama vipi nitalipa,” captioned Idris in a picture of Wema he shared on his Instagram page, after the court sentence.

The comedian has come out to share that his girlfriend gave him the silent treatment after the post.  Idris Sultan and Wema Sepetu made such an amazing couple in 2016. They however broke up after she suffered a miscarriage and since then, two had an on and off relationship.

 

Wema Sepetu  finally comes clean on the reason she traveled to India recently 

Socialite Wema Sepetu was recently topping headlines over a trip she made to Asia with a section of her fans believing it was just more than a visit to the doctor as she said.

Word had it that she was in India to reduce her waist after she missed appearing for her court case. Her mother produced her travel documents showing she was in India for treatment.

Lies

During the Miss Morogoro beauty pageant where she was one of the judges, Sepetu said that she underwent an operation in India for fertility treatment. Nothing else.

Well I don’t have to talk about vitu vyangu personally but nadhani kwamba inajulikana kwamba in a long time nimekuwa na tatizo la kushika mimba kwahiyo vitu vingine nahisi kama vile ni very discreet and sitaki kuiweka out in the open sio kila kitu lazima watu wajue kuhusu maisha yangu lakini kuhusu ugonjwa wangu its mostly because of matatizo yangu ya kutokushika mimba haina chochote kingine,” said Wema.

Wema Sepetu ends longtime beef with Muna after her child’s death 

Socialite Wema Sepetu has come out to share that her longtime beef with Muna Love has come to an end after Muna lost her daughter.

The socialite, in Muna’s son’s Patrick Peter memorial, asked Muna to forget what happened between them in the past.

forget it

Muna pole sana najua ulivyokuwa unampenda Patrick, najua ulivyokuwa unamthamini na mapenzi yako ndio yalitufanya sisi hapa watu wa karibu tumpende zaidi. Mapenzi yangu mimi kwa watoto huwa yako very sincere na nilimpenda sana Patrick.

She went on:

“Najua kwamba hakuna mzazi ambaye anapenda kumzika mwanae. I believe mwenyezi Mungu atakupa nguvu wewe pamoja na babake mzazi wa Patrick na kuhusu mitandao hebu tuyaache ya mitandao yabaki mitandaoni. Nina Imani kwamba mtoto wenu atakuwa na furaha Zaidi akiona kuna upendo kati yenu na sio huu mgawanyiko ambao unaendelea. Muna unajua nakupenda na nitaendelea kukupenda yaliyopita si ndwele tugange yajayo,” she said.

Wema Sepetu and Idris Sultan continue to fuel relationship rumors

Idris Sultan and Wema Sepetu made such an amazing couple in 2016. They however broke up after she suffered a miscarriage and since the two had an on and off relationship.

Though they are still affectionate towards each other, it is unclear whether they are an item. The two have since kept their love lives on the low but word has it that Wema Sepetu and Idris could be stronger than we think.

Also read: Wema Sepetu: I didn’t sleep with Mohombi

The Tanzanian sweetheart refers to her ‘ex’ as hubby and judging from how they flirt around in their comments; there is something the two are not telling their fans.

Wema Sepetu relationship status

All we know is that the actress is in a serious relationship with an unknown person. Unlike her old self, Wema Sepetu lately knows how to keep her life on the low.

However, looking at her situationship with Idris Sultan, chances are that the two are dating on the low.

“I will be your salve” Idris Sultan sends Wema Sepetu this beautiful message as she celebrates her 29th birthday

Tanzanian Sweetheart Wema Sepetu has turned a year older and to mark this special day the lady has been sharing new stunning photos that have left some of her exes carried away by her beauty.

After Diamond Platnumz wished her a happy birthday through his Instagram page – her other ex Idris Sultan has also followed as he shared a stunning photo of the lady on his gram where he celebrated hi queen on her special day.

Wema and Idris

But as usual the funny man could not hold back from throwing in a funny caption that has left many thinking that he is still hooked to the lass who was once his woman. He wrote saying:

Kuna mtu kapewa ruksa ya kusema chochote anachokitaka leo sasa nimekua mtumwa naomba tu siku iishe na chochote nitakachofanya leo jueni sio mimi jamani ? nimetekwa na wasiojulikana. Pichani juu ni mdada akiangalia kitu ambacho ningemuomba aniachie nipambane nacho leo hicho ndio kitengo. Hii ni picha ya 4443, ya 4444 itakua kesho na itakua habari nzitoooooo sanaaaaaaaaaaaaa ? ila kwa sasa acha nirudi utumwani siku iishe ?

 

Checkout the post below and the comments team Wema have been leaving under the photo as they plead with him to get back with their ‘madame’

“Please forgive me!” Wema Sepetu message to Idris Sultan

For the very first time we are seeing the Tanzanian sweetheart apologize to the man she is rumored to be involved with, Idris Sultan.

Apparently this comes after Wema Sepetu failed to attend the launch of Idris Sultan’s shoeline that went down last night. However, Wema Sepetu has come out to explain herself as to why she couldn’t be present despite knowing that he wanted her to be present.

In a long post shared on Sepetu’s Instagram page, the lady poured out her heart to Idris as she went on to apologize for not being present to support her man. She wrote saying:

https://instagram.com/p/BYfxUZhn_CJ/