“I thought God would bless me with a child right after my best friend got pregnant!” Wema Sepetu reveals

Wema Sepetu has been struggling to get pregnant for years now and things seem not to be working out as planned.

For the past few months Wema Sepetu has made sure to lose her excess body weight as her doctors promised this would make it way for her to conceive.

Cookie

In a new post shared on Instagram by the actress, Wema Sepetu finally got a chance to open up about the love she has for her best friend’s daughter.

Thanks to a detailed post shared on Instagram page, Wema Sepetu wrote saying;

Cookie Smiles wa Aunty Wema… Nakupenda mtoto wangu… .
.
Nakumbuka Tiake alivyokuwa ana mimba ya Cookie, tuliambizana kwamba Cookie atakuwa wetu wote… Najua mtoto wa mwenzako hawezi kua wako hata siku moja ila wewe ni wakwetu… .

Wema Sepetu baby fever

The actress says that after Aunty Ezekiel got pregnant with her daughter Cookie, she (Wema) thought God would bless her with one of her own.

Cookie, Aunty Ezekiel’s daughter

Nilihisi maybe baada ya Tiake kumpata Cookie basi na mimi ningeweza kupata mtoto ryt after but Mungu hakupanga… Maybe ipo kwenye mipango yake ila sijui itakuwa lini… .
.
Nafurahi kumuona Cookie wangu akiblossom into a pretty lil girl… Oh My she is too sweet… Ila ni kaongeaji kama mama ake… ???????????? .
.
.
Nisiwe muongo naskiaga wivu sana nikiona watoto wa rafiki zangu… But inshallah nami ipo siku nina imani Mungu atanibarik… .

Wema Sepetu also went on to urge fans to stop telling her that time is running out on her since just like most ladies she wishes to have a child of her own.

Aunty Wema Loves you Cookie Smiles… Saaaanaa… @cookielaprincess cc @auntyezekiel …. @moseiyobo ulidhani utatuharibia mtoto… Hujaweza… Ona chombo hicho sasahivi… Ila mwanzoni tulijuta… ????????????????????…
.
.
.
Nawaombeni msiwe mnaniambia Zaa basi Zaa basi… It hurts… Sio kwamba sitaki kuzaa… Ndo hivyo tena…

“I have already accepted my condition” Cyber bullies compel Wema Sepetu to address inability of her uterus to hold pregnancy

Wema Sepetu has had several miscarriages that have discouraged her from getting pregnant again. The former Miss Tanzania came under fire for expressing her opinion about expectant mothers.

The last time Wema Sepetu was pregnant she was expecting twins who were fathered by Idris Sultan. But unfortunately she had another miscarriage in February 2016.

Wema Sepetu and Idris Sultan

Yesterday July 6th Wema took to Instagram to congratulate fellow actress Esha Buheti who is heavily pregnant. In the same post, Wema took issues with pregnant women who are posting semi-naked pictures flaunting uncovered baby bumps in photo shoot.

Esha Buheti

“Mashallah Esha wangu… Staha hadi Raha…. Sijawahi Elewa Wanawake wakishaenda kwenye Maternity shoots kwanini wanataka sana wakae uchi…. This Is Very Beautiful my Darling…. Allah Bariq Tumbo lako ujifungue salama my love… Unajua navyokupenda…. Hii iende kwa wanaokaaga Uchi wakiwa wanapiga picha za Mimba Jamani… ??? @esha.s.buheti,” wrote Wema Sepetu.

Critics were offended by Wema’s comment, some blasted her claiming she was jealous of pregnant women because her uterus couldn’t hold fetus.

Wema responded by stating that she had accepted her condition; she explained that tradition called for women not to expose their baby bumps in semi-naked photos.

The former beauty queen further defended her opinion saying that she wouldn’t be silenced just because she couldn’t bear a child of her own.

“Yaani ni Hivi, Hakunaga Jipya Now Mwaweza nitukana nikashtuka… Maana mi mwenyewe nishajikubali hali yangu… Labda niulize tu, Niko peke yangu nilokosa mtoto au ambaye sijazaa…??? HAPANA…!! Soooooooo Back to The Main Point, Nilichosema na nitakachoendelea Kusema, MUACHE KUTUWEKEA MIPICHA YA MITUMBO YENU YENYE MSTARI WA UJAUZITO… Yaani inshort, Muache kupiga picha za UTUPU kwenye Maternity Shoot zenu…. @esha.s.buheti Nakupenda mama…. You are the Definition of Womanhood & Motherhood… Na unajua Utamaduni wetu nini unataka…. Haya Wazungu endeleeni na Uzungu wenu…. Tukaneni na hapa pia…. Eti u thought I would keep quite jus cause mmeniita Jina nilolizoea… So nisi speak my Heart… Y’all are Very Funny….!!!! ??? Allah akutangulie kipenzi changu…. Baby,” Wema hit back at critics.