Take a look at how Diamond Platnumz’ has a busy schedule unlike most of you who are just making memes

Babu Tale, Diamond Platnumz’s manager is worried that Diamond might be working himself to death.

Tale shared in an interview saying that Diamond is always performing somewhere and has a very tight schedule a thing that is now worrying him. He now wants Diamond to take a rest and visit the doctor often for check-ups otherwise fatigue might hurt him in the long run.

“Diamond Platnumz Hapumziki Kabisa, Tunatafakari Kumtafutia Daktari wake mwenyewe tu, Aangalie Afya yake maana anajiover dose na kazi. Diamond anaanda Nguo yake ya kuvaa mwenyewe, anajistyle mwenyewe, video zake anafanya mwenye muda wa kuedit. Ni mtu ambaye anafanya vitu vingi, kama tunekuwa nchi zilizo endelea basi Diamond anahitaji Doctor wake. Diamond anajiover dose. Juzi kumekuwa na video iliyosambaa ukimuonyesha Diamond kama mtu ambaye hayuko sawa, lakini uweli ni kwamba ile video ilichuliwa wakati anawatch Rayvanny akiperfom na huku anajibu maswali, nao watu wakatafsiri kivyao” said Tale. 

Comparison

Tale also added that that’s why no one can be compared to Diamond Platnumz majorly because of his hard work.

“Of course hawezi kuwa sawa maana anafanya vitu vingi kwa wakati mmoja. Msani wetu yulko na shows nyingi sana, unaweza ukaona kuwa ni high dose tunampa , lakini wanasema kama ni muda wako wakutafuta basi tafuta. Tunapambana na wakati tunapambana tunafyonza damu ya yule dogo. So we need someone ambaye atatusaidia na huyo ni doctor labda” said Tale.

About this writer:

Pauline Syombua

Content Developer IG: Kermbua