Tanzanian singer Aslay forced to cancel show in Kenya after organisers tried conning him 

Tanzanian singer Aslay had to cancel his show in Mombasa last week after the organizers of the event failed to uphold their part of the agreement with his management.

The singer took to social media to inform fans that the show, which was scheduled for Saturday had to be canceled to protect his brand after organisers started dodging him.

Nachukua fursa hii kuwaomba radhi mashabiki zangu wa Mombasa ninaowapenda sana. Nilitamani sana kuwa pamoja nanyi katika burudani siku ya ijumamosi ila kutokana na kutofikia makubaliano na waandazi wa show hiyo hivyo imenilazimu kugoma kufanya show hiyo kwa kulinda msimamo wangu na viongozi wangu kikazi zaidi. Nawapenda sana sana na naamini tutakuwa pamoja atapotukutanisha Mungu kwa mara nyingine. TUKUTANE NEXTDOR MIDA HII MASAKI,” wrote Aslay Isihaka.

Rogue promoters

His post comes just a few weeks after another promoter left Tanzanian singer Harmonize stranded in Eldoret after failing to complete his total performance fee. Harmonize didn’t also perform in the event that later turned out chaotic as fans demanded for their refund.

About this writer:

Pauline Syombua

Content Developer IG: Kermbua