Vera Sidika opens up about her first sponsor who made her rich while she was still a student at Kenyatta University

Vera Sidika started having sponsors while she was still a student at Kenyatta University. The bootyful socialite opened up about her first sponsor during an interview with Tanzania’s Kwanza TV.

She revealed that she met the sponsor while she was home in Mombasa during campus holiday. Vera reveals that the man lived in Nairobi and that they hooked up when she also went back to school in the capital.

“Nlitoka Mombasa nkaenda Nairobi nkaingia kwenye modeling industry, ikifika time ya likizo kwenye shule – Kenyatta University, naenda Mombasa. Mombasa ilikua kila December kuna kama beach party hivi. So nlipoenda Mombasa nlipatana na jamaa fulani ambaye alinipenda, kwa beach party fulani nlikua nimeenda na rafiki zangu. Tukazungumza akawa amenipenda, kukaanza kukeep in touch kumbe alikua pia anaishi Nairobi. Mimi sikua najua kuwa ni mtu ambaye anajulikana, ni successful businessman. Lakini alikua kwa situation kwamba he was divorced, kumaanisha alikua amenizidi umri,” said Vera Sidika.

Money galore

Vera said that the sponsor showered her with more money than she had ever dreamed of in her entire life. She started saving the money the sponsor was giving her, she deposited the cash in her bank account every Friday for the time she dated the sponsor.

“Alikua akinipa pesa mimi nashtuka, ikafika time after two, three weeks hivi nkasema hizi pesa ambayo ananipa mimi hivi sijazoea. Nikatumia akili yangu nkaanza kusave. Nlimdate huyo mwanaume kama one and a half year. I used to save a lot, kila Friday nlikua naenda kwenye banki. Every Friday for one and a half year nlikua naenda bank kusave pesa zangu maanake alikua ananipa pesa kila wiki,” said Vera.

Breakup

Vera explains that her sponsor broke up with her after he get tired of her nunu. The bootyful socialite says that she was lucky because her invested the money she saved into her businesses which paid off and changed her life forever.

“Unajua mwanaume ambaye amekua successful katika biashara anaweza kupata mwanamke yoyote ule, you can’t control him. Ikafika point yani unafikiria akikuacha akienda kufwata mwanamke mwingine inakua normal maanake ana hela. Inafika point wanaume kama hao wanachoka, munadrift apart. Ikafika point tukakua na matatizo fulani ikabidi tumebreak up. Sahio alikua ameniweka katika lifestyle ingine tofauti, lifestyle ambayo nimezoea kunipa kila siku, nkisafiri nko na driver vitu kama hizo,” said Vera.

Watch the full interview below:

https://youtu.be/DV9fiKsy1x4?t=1217

 

 

 

 

 

 

About this writer:

Martin Oduor

Ultimate keyboard ninja dedicated to bringing you the juiciest stories on blogosphere