Wasafi Records Mbosso’s emotional message after his baby mama passes on

Mbosso who is popularly known for his love songs is currently in mourning following the death of his baby mama, Martha.

From his long post shared on Instagram, we understand that Mbosso and his late baby mama chose to keep their relationship on the low until yesterday when the singer opened up about the love they both shared.

Mbosso under Wasafi records

According to Mbosso’s post it appears that the singer was still close with his baby mama and even shared a few joyful memories despite separating.

Mbosso mourns the loss of his ex girlfriend

He went on to mourn the lady expressing his pain in the post where he wrote saying;

Mbosso’s baby mama, The late Martha

Licha ya Vipingamizi Vingi juu ya Mimi kuwa na Wewe takribani au ndani ya zaidi ya Miaka Mitano (5) iliyopita, hatukuacha kuonyeshana ni kiasi gani tulikuwa tunahitajiana sana kwenye Safari yetu ya maisha , Japo jitihada zetu hazikuweza kufanikisha Mimi na wewe Kuwa Pamoja .., ila mbegu tuliyoipanda vuno letu ulichagua Liwe siri baina yangu Mimi na wewe.., sikukubishia japo Mwazoni nilikukatalia kwa sababu ‘najijua kifua cha Kuficha Siri sina..’ , ila nikakuahidi sitadiriki kuitoa Popote na hata waliotuhisi tulikuwa tunawakatalia.., iwe Faragha au mbele ya hadhira tulitamka Sio Kweli, Hapana, Hakuna Kitu Kama hicho..’ Hayo ndo yalikuwa Majibu Yetu.., “Sasa Umeondoka bila kunipa ruksa juu ya hili Je, niendelee kuitunza hii siri .., na Je, anavyoendelea Kukua akija kuniuliza na nikwambia Mama alisema uwe siri atanielewa Kweli ”..” ?.. Wallah Moyo wangu unauma Martha , hukupaswa kuondoka wakati huu, Mapema mno Dah ..!! “Nenda Martha Mwingi Furaha na Ucheshi , Hata Mama Kasema Leo Msiba..:, ‘ jana ulikuwa unatabasamu hadi ulipofumba Macho , “Innalillah Wainnailaih Raajuun ” ..’ Mwenyezi Mungu akupe Kauli thabiti inshaallah.., ‘ Lala salama Martha ????

Our prayers and thoughts are with the young man and his late girlfriend’s family!

About this writer:

Pauline Syombua

Content Developer IG: Kermbua