Zari’s dimples cause chaos online

Image: Zari Hassan

The mother of five, Zari Hassan, may have dimples for the first time in recent videos and images of her.

In a video that blogger and Tanzanian-American Mange Kimambi shared, the entrepreneur can be seen flaunting her new dimples.

“Nyie shoga yangu kaweka dimples, 🤣🤣🤣🤣🤣🤣… . Hapana aiseeee kama kuna mtu yuko uncomfortable in her own skin ni huyu aiseee….. kuweka wowowo yeye, kubana tumbo yeye, kuchonga miguu yeye, sindano za lips yeye, kuweka dimples yeye….. Huyu kuna siku ataiingia operating room na hatoamka tena, hizi surgery ni nyingi alafu anazifanya tofauti. Hiyo age yake pia sio nzuri kabisa kupigwa nusu kaputi hovyo hovyo. . Ila bora dimples zake nzuri sio kama zile za Muna Love zilikuwa kama zimepigiliwa na msumari 🤣🤣🤣, yani kishimo hakieleweki. Dimples za Bi Tukinao nzuri ila zikae sasa sio zipoteee kama za Muna. Walichokosea ni location tu ya dimple. . . Bi Tuks kinachomfanya anahangaika kutwa na ma surgery ni sababu ya kutoka na vitoto vidogo, she is trying to keep up with their young looks. Angekuwa anatoka na wazee kama sisi wenzie wala asingekuwa na hizi pressure. Kama mimi hapa jamaa yangu kanipita 22 years yani ananiona kitoto sasa unadhani nna waza surgery? Ila ningekuwa na toka na kijana w 30 years najua visichana vya miaka 20s na 30s vinamtaka si kila siku asubuhi ningekuwa najiangalia kwenyw kioo kutafuta kunyazi la kurekebisha… Ila naishi kwa amani ya roho jamaa yangu ananiona mtoto mbichiiiii kabisaaaaa na kunidekeza juuu 🤣🤣🤣, ananiita African Princess mara 100 kwa siku, sio hata African Queen ananiona sijafika umri wakuitwa Queen, basi nabaki ka Princess, nyieeeeeeeee 🤣🤣🤣. Ila mi sijawahi kuwaelewa wamama kama Zari why wana hangaika na vitoto tena vitoto havina hata shingi 5 benki , ukiuliza kisa nini ? Sababu ni mbili, 1. na yeye aonyeshe kwenye social media ana bwana wa kumdinya 2. ngenye. Hizo ngenye kali mpaka unatiwa na kitoto kidogo unaweza kukizaa alafu bado unakihonga sidhani kama ntawahi kuzipata mpare mimi. Mimi mwanaume wa kunipa ngenye ni mwenye hela ndefu tu kwa kweli 🤣🤣🤣. Bila hela tendo lenyewe naliona bonge ya kero. Ila kama hela ipo uwiiiiii dyudyu naililia kabisaaa 🤣🤣🤣🤣🤣Yani hata sasa hivi niko na hela zangu mwenyewe ila bado nataka bwana alienizidi maokoto, tena anizidi kweli. Asienizidi maokoto simtakiiiiiiiii 🤣. Bora niwe single nijijue sina mwanaume kuliko kuwa na mwanaume asie na maokoto ya kueleweka.”

According to Healthline, the process of “dimpleplasty” is used to artificially produce dimples.

Dimples are created on the cheeks by the technique.

About this writer:

Ozymandias

My name is Ozymandias, King of Kings; Look on my Works, ye Mighty, and despair! Nothing beside remains. Round the decay