Ali Kiba na Mkewe Amina Wamkaribisha Mtoto Wao Wa Kwanza

Msanii wa muziki wa Bongo fleva Ali Saleh Kiba na mke Wake Bi. Amina Khaleef hatimaye wamefanikiwa kupata Mtoto wao kwanza.

Ali Kiba ametangaza habari hiyo njema Kupitia ukurasa wake wa Snapchat ambapo ameweka mkono na mguu wa Mtoto huyo kuonyesha ujio Wake siku ya jana.

download latest music    

Ali Kiba ameweka wazi kuwa Mtoto Wake huyo ni Jinsia ya kiume. Huyo ni Mtoto wa nne wa Ali Kiba Lakini atakuwa ni Mtoto wa kwanza kwa mkewe Amina.

About this writer:

Diana

I am a hard working young woman Aspiring writer with dreams larger than life itself, always living by the principle that live today like there is no tomorrow.