Alichosema Rayvanny baada ya kuteuliwa kuwania tuzo la BET 2017

Diamond Platnumz amekosa kupata uteuzi kuwania tuzo la BET 2017 lakini Rayvanny ameteuliwa katika kitengo cha ‘Best International View’s Choices’ akiwa ni msanii pekee kutoka Afrika katika kitengo hicho.

Rayvanny aliambia Ayo TV alikuwa studio akirekodi ngoma mpya ndo habari ikamfikia kuwa ameteuliwa kuwania tuzo la BET.

download latest music    

Diamond ata hivyo hajateuliwa kuwania tuzo la BET 2017; hit maker huyo wa ‘Marry You’ amewahi kuteuliwa mara mbili (2014 na 2016) kuwania tuzo hilo kwa kitengo cha Best International Act: Africa.

Tazama orodha hio hapo chini uone wasanii kutoka Afrika ambao waliteuliwa kwa kitengo cha Best International Act: Africa 2017:

Best International Act: Africa

AKA (South Africa)

BABES WODUMO (South Africa)

DAVIDO (Nigeria)

NASTY C (South Africa)

STONEBWOY (Ghana)

TEKNO (Nigeria)

WIZKID (Nigeria)

MR EAZI (Nigeria)

 

About this writer:

Martin Oduor

Ultimate keyboard ninja dedicated to bringing you the juiciest stories on blogosphere