Alikiba Aongeza Namba kwa Familia, Apata Mtoto Mwingine

Msanii wa muziki wa kizazi kipya nchini, ALIKIBA ametuonyesha kwa mara ya kwanza mtoto wake mpya aliempta masaa macahche yaliyopita .

Alikiba na mke wake wanasherekea ujio wa mtoto wao huyo ikiwa ni miezi michache tangu kufunga kwa ndoa yao mwaka jana na mke wake amina kutoka nchini kenya,

download latest music    

Kwa Alikiba huyo hatakuwa mtoto wake wa tatu huku kwa bi Amina atakuwa mtoto wake wa kwanza na mume wake huyo.

tunatoa pongezi za dhati kwa msanii ALIKIBA  pamoja na mke wake BI.Amina

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.