Alikiba awachia video mpya – seduce me

King Kiba ameachia video ya wimbo wake mpya Seduce me hivi leo miezi kadhaa baada ya kukawia kimya.

Msanii huyo amewachia wimbo huo wakati kuna tetesi kadhaa za kuchambuliwa na Diamond Platnumz kwenye mix ya Fresh.

download latest music    

Wimbo huu umewaacha mashabiki wake kama wameridhika baada ya kusubiriwa kwa hamu. Wimbo huu umetengezwa chini ya kampuni ya Rockstar4000 Music Entertainment and Rockstar Television inayommiliki.

Itazame hapa

 

 

 

About this writer:

Pauline Syombua

Content Developer IG: Kermbua