Aunt Ezekiel hana mipango ya kuolewa na Mose Iyobo, hii ndio Sababu yake

Image: Aunty Ezekiel

Muigizaji wa muvi za Kibongo Aunt Ezekiel ambaye sasa anatoka kimapenzi na Mose Iyobo hivi karibuni alifunguka kueleza mambo kadhaa kuhusu mapenzi yao huku akiwaacha wengi na maswali mingi.

Aunt Ezekiel alisema kuwa kuna wakati Mose Iyobo amemfumia na kupata meseji kutoka watu wanaomtaka na pia yeye amewahi kuzipata meseji hizo lakini anaelewa kuwa vitu kama hizo hufanyika.

download latest music    

Nilishawahi kumfumania mara mingi nyingi na yeye alishawahi kubamba meseji kwenye simu yangu lakini inaonesha labda mtu alikuwa ananipenda na mimi nikampotezea na ishu kama hiyo ya kufumania ni lazima itokee hasa kwa sisi tuna majina

Kuhusu swala la kuolewa, Aunt aliambia Risasi hana mipango ya kuolewa na Iyobo huku alisema:

Unajua ishu ya ndoa ni mwanaume ndiyo anaamua kuoa mtu f’lani lakini pia kufunga ndoa ni makaratasi tu kikubwa zaidi ni jinsi gani unaishi na mwenzako na mnaelewana kiasi gani.

 

About this writer:

Pauline Syombua

Content Developer IG: Kermbua