Diamond Azidi Kuzua Gumzo Baada Ya Kuishia Nje Kwenye Kuaga Mwili Wa Ruge

Msanii wa muziki wa Bongo fleva Diamond Platnumz amezidi kukamata headlines kwa matukio ambayo amekuwa akiyafanya ikiwemo Sakata la kuishia nje ya ukumbi wa Karimjee siku ya kuaga mwili.

Maulidi Kitenge mtangazaji wa EFM, leo amezua gumzo mitandaoni kwa kudai kwamba muimbaji huyo alizuiliwa kuingia ndani kwa madai kwamba alichelewa pamoja na kuwa na kundi kubwa la watu.

download latest music    

https://www.instagram.com/p/BukuRa2hmYS/?utm_source=ig_share_sheet&igshid=1gcr1w2aypwa1

Ujumbe huyo wa mtangazaji huyo hodari wa michezo kutoka EFM, umezua gumzo mitandaoni huku kila mmoja akiwa na maoni yake kuhusiana na sakata hilo la aina yake.

Mengi yalizungumzwa kuhusu uhusiano wa Diamond na Marehemu ikiwemo Bifu lao enzi za uhai Wake ambapo ilisemekana Msanii huyo asingeweza kuhudhuria msiba huo.

About this writer:

Diana

I am a hard working young woman Aspiring writer with dreams larger than life itself, always living by the principle that live today like there is no tomorrow.