Mastaa wa Bongo wajitokeza kwa wingi kumzika baba ya Bella 9

Bella 9 na wanamuziki wa Bongo walijitokeza kwa wingi jana kumzika marehemu mzee Darmian ambaye alifariki usiku wa Machi 18 baada ya kugongwa na pikipiki.

Kulingana na taarifa Mzee Damian alipoteza damu mingi baada ya piki piki kumgonga na kumvunja mguu. Hata hivyo alipelekwa hospitalini ambapo alifariki dunia baada ya dawa zilizokuwa zinahitajika kukosa kupatikana.

download latest music    

Kumpoteza Mzee Damian ni pigo kubwa kwa Bella 9 na ndugu zake kwa kuwa alikuwa ni mwalimu muhimu katika maisha Yao.

Hata hivyo wasanii na marafiki waliohudhuria mazishi haya walimpa Bella 9 nguvu ya kuendelea na maisha yake kwa kuwa ingawa babake alifariki bado maisha yake yatabidi yaendelee.

Tazama picha ya Mazishi haya.

About this writer:

Pauline Syombua

Content Developer IG: Kermbua