Mkubwa Fella Awajibu Wanaomtukana Kisa Kifo cha Ruge

Moja wa wadau wakubwa katika tasnia ya sanaa nchini amefunguka na kuwajibu watu wanaomsema kuhusu kukaa kwake kimya bila kufanya chochote tangu ulipotokea msiba wa Ruge na hata kabla ya kifo chake.

Mkubwa fela amefunguka na kusema kuwa watu wamekuwa wakisema  hajali kitu kuhusu msiba huo bila hata kujua kuwa yeye na Ruge wametoka mbali sana na hata msiba huo umemgusa sana lakini hana cha kufanya kwa sasa kwa sababu na yeye ni mgonjwa.

download latest music    

katika ukurasa wake, mkubwa fella amefunguka na kusema ”

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.