Msanii maarufu wa bongo aweka picha ambayo imezua utata mitandoni kusheherekea siku ya kuzaliwa ya Rayvanny

Diamond Platnumz amekuwa mada ya wiki huu baada ya Hamisa Mobetto kufunua jina la mtoto wake, Abdul Naseeb.

Kwa kufanya hivi, Diamond Platnumz alimbumburushia Mobetto matusi huku akimuita ‘bitch’ na kuwafanya mashabiki wake kumponda kwa kitendo hiki.

download latest music    

Hata hivyo, Diamond Platnumz ameonekana kuendelea kumponda Hamisa kwa kumuwekea picha za kuudhi mitandaoni. Akimsheherekea Rayvanny Leo, Mkali huyo wa Wasafi aliweka picha huku akionekana akimbusu Zari na Vanny akioneka kwenye background.

Kwenye picha hiyo, Simba aliandika;

Jus wanted to wish the guy at the back happy birthday…please tag him!!!

Lakini, mashabiki wake wameonyesha kutoridhika.

About this writer:

Pauline Syombua

Content Developer IG: Kermbua