Mume wa Shamsa Ford Kafunguka kwa mara ya kwanza baada ya kudaiwa kumpiga

Wiki kadhaa zilizopita, picha zilijitokeza kwenye mtandao za Shamsa Ford kama ameumia sana kwenye uso.

Sababu? Bado haijaweleka vizuri.

download latest music    

Mume wake Chidi Mapenzi ndio aliyekuwa mgeni maalum kwenye U Heard ya Soudy Brown na hivi ndivyo alivyosema.

”Siwezi kumpiga mke wangu. Wewe mwenyewe unanijua mimi siyo mgomvi. Nilitoka ofisini, nikamkuta mke wangu ameumia, nilipomuuliza nini tatizo, akanielezea. Nilipomuuliza unamjua mtu mwenyewe, akasema tumeyamaliza. Basi nikampeleka hospitali.” 

About this writer:

Irari Ngugi

Lover of life, lover of big boobs and certified celebrity squasher. Catch me if you can on facebook as Irari Ngugi