“Ndoa yangu ipo karibu” Lulu Michael

Lulu Michael amefunguka na kusema ya kwamba ndoa yake na mpenzi wake Dj Majay ipo karibu.

Amefunguka kuwakosoa mahaters ambao walidhani uhusiano wake na Majay ambaye ni bosi wa EFM na TVE hautaishi na watakuja kuachana.

download latest music    

“Siku zinakaribia na karibu tarehe ya ndoa yangu itatangazwa kwa uwezo wa Mungu. Hapo ndipo waliotamani tuachane wataziba midomo, maana natarajiwa kuwa mke halali hivi karibuni,” ameliambia gazeti la Mtanzania.

Lulu ameongeza kuwa anatamani kuwa mke bora kwenye ndoa yake kama alivyokuwa sasa kwenye mahusiano yake.

About this writer:

Irari Ngugi

Lover of life, lover of big boobs and certified celebrity squasher. Catch me if you can on facebook as Irari Ngugi