Niliwahi Kushika Pesa Kuliko Msanii Yoyote , Ruge Hakuwahi Nidhurumu :-Chid

Msanii wa muziki wa kizazi kipya nchini mabae kwa sasa amekuwa chini kutokana na hali yake ya kiafya kidogo kudhoofu CHID BENZ amefunguka na kusema kuwa tangu amekuwa msanii kwa zaidi ya miaka 10 sasa yeye no moja ya wasanii wenye historia ya kuwa na pesa nyingi kuliko msanii yoyote lakini hakuwahi kufanyiwa dhuruma na Ruge.

Chid benz ambae anasema kuwa yeye ni msanii aliyewahi kushika pesa sana kipindi cha nyuma kuliko msanii yoyote na alikuwa akisaidwa sana na bwana Ruhe lakini hakuwahi kufanyiwa yale ambayo baadhi ya wasanii wamekuwa wakizusha katika mitandao ya kijamii.

download latest music    

hata hivyo moja ya wasnaii DUDUBAYA amezua kashfa mbaya sana kwa marehemu Ruge mutahaba kwa kusema kuwa amekuwa akidhurumu sana wasanii hasa waliopitia mikononi mwake ilhali wasanii waliolelewa hapo wanasema hakukuwa na kitu kama icho.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.