“Nundu ya Lulu sio size yangu” Harmorapa akosoa makalio ya Elizabeth Michael ‘Lulu’, Wema Sepetu na Wolper

Harmorapa ametoa hukumu yake kuhusu makalio ya warembo watatu maarufu sana Tanzania; Wema Sepetu, Elizabeth Michael ‘Lulu’ na Jacqueline Wolper.

Rapa huyu maarufu kwa kuzua utata aliongelea matako za warembo hao katika wimbo wake mpya ‘Nundu’ ambayo aliwashirikisha Cpwaa na Ronei.

download latest music    

Harmorapa alisema makalio ya Lulu sio size yake, alisema pia hawezi ‘kula’ nundu ya Wolper kwasababu Harmonize ndo anakula.

Tazama video ya wimbo wake Harmorapa hapo chini:

 

About this writer:

Martin Oduor

Ultimate keyboard ninja dedicated to bringing you the juiciest stories on blogosphere