Pascal Cassian Awataka Wasanii Kuacha Unafiki Msibani kwa Ruge

Msanii Pascal Cassian ambae kwa sasa yuko hospitali akipatiwa  matibabu hospitali amefunguka na kusema kuwa wasanii wengi sasa hivi wameonekana kuguswa sana na msiba wa Ruge wakati alipokuwa hai hakuna aletaka kujali hali yake kwa ujumla.

Pascal Cassian ambae kwa sasa ni mgonjwa na alisaidiwa sana na mh paul makonda anasema kuwa wasanii walikuwa kimya sana na walikuwa wapi kuonyesha kusikitishwa kwao na hali ya Ruge mpaka wameona sasa hivi hayupo ndio wameanza kujitokeza kufanya hayo wanayofanya.

download latest music    

katika ukurasa wake aliandika

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.