Rayvanny aachia wimbo mpya aliyoshirikiana na mfalme wa rap kutoka Kenya (Video)

Hii ni mara ya pili Rayvanny kufanya kolaba na msanii kutoka Kenya. Mwimbaji huyo wa Wasafi alishirikiana na Bahati kuachia wimbo unayoitwa ‘Nikumbushe’ ambayo ni hit kubwa Kenya.

Rayvanny tena ameshirikiana na msanii mwingine kutoka Kenya anayeitwa Khaligraph Jones. Wawili hao wametoa wimbo unaoitwa ‘Chali Ya Ghetto’.

download latest music    

Khaligraph hudai kuwa yeye ndiye mfalme wa hip hop nchini Kenya. Tazama video ya wimbo wao mpya hapo chini:

https://www.youtube.com/watch?v=9pIYpVNeNfQ

About this writer:

Martin Oduor

Ultimate keyboard ninja dedicated to bringing you the juiciest stories on blogosphere