Rosa Ree afunguka sababu za kuvalia mavazi ya nusu utupu

Msanii wa hip hop bongo ni mmoja wa wasanii wa kike ambao hupenda kuvalia mavazi yanaonyesha mwili wake.

Sio kwa sababu anajaribu kuuza nyimbo zake, lakini ni kwa sababu anapenda kuvalia nguo kama hizo.

download latest music    

Akizungumza kwenye mahojiano Rosa Ree’ amefunguka kusema;

“Navaa mavazi ya nusu utupu kwa sababu napenda, mimi ni mwanamuziki,  lazima nivae tofauti na watu wa kawaida, kwa hiyo wanataka hata nikienda kuoga nivae suruali? Acha waseme, ninaziba masikio mimi naangalia muziki wangu tu,” alisema.

About this writer:

Pauline Syombua

Content Developer IG: Kermbua