Shilole aeleza kwanini hakujaliwa kumzalia mtoto ex wake Nuh Mziwanda

Staa wa Bongo Movies Zuwena Mohamed maarufu kama Shilole ameeliza kwanini hakumpa mtoto ex wake Nuh Mziwanda.

Wawili hao, Shilole na Nuh, waliwapa watu sababu ya kuwazungumzia baada ya kuonekana katika mapozi ya kimapenzi.

download latest music    

Soma pia: Hawa watarudiana tu! Staa wa Bongo Movies na Bongo Fleva Shilole apatikana akiwa katika mapozi ya kimapenzi na ex wake

Nuh alimuoa Nawal na ata kuzaa naye mtoto wa kike baadaya ya uhusiano wake na Shilole kuvunjika. Ata hivyo Shilole na Nuh bado ni marafiki.

Alipoulizwa kwanini hakumpa mtoto Nuh kwenye kipindi cha Planet Bongo cha EA Radio hivi karibuni, Shilole alisema kuwa hakujaaliwa tu kupata mtoto kwa uhusiano wake na Nuh. Alisema pia bado yupo single kwa sasa.

Shilole na Nuh Mziwanda

About this writer:

Martin Oduor

Ultimate keyboard ninja dedicated to bringing you the juiciest stories on blogosphere