Siwezi Kuamini Msiba wa Ruge Mpaka Nione Mwili Wake :-Mrisho Mpoto

Msanii mkongwe wa nyimbo za asili nchini Mrisho Mpoto amefunguka alipokuwa akiongea na waandishi wa habari katika msiba wa Ruge Mutahaba uliopo nyumbani kwa wazazi wake  huku jijini Dar huko mikocheni .

Akiongea na waandishi wa habari Mrisho Mpoto anasema kuwa hakuna msanii mkubwa anaeonekana kwa sasa anaendesha gari na nyumb nzuri bila kupita mikononi kwa Ruge hata mmoja , hayupo Tanzania.

download latest music    

Hata hivyo Mrisho Mpoto anasema kuwa kamwe hawezi kukaa na kuamini kuwa Ruge amekufa mpaka pale atakapoona katika jeneza mwili wa Ruge ambae kwake ni kama kaka aliemshika mkono kumfanya ainuke.

Wasanii ni wengi sana na watu wa nyanja mbalimbali ambao wamekuwa wakitoa ushuhuda wa kile ambacho walifanyiwa na jasiri kiongozi huyo ambae mshumama wake umezima ghafla.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.