Snura Mushi afurahishwa na wazito wa kimuziki kutoka Nigeria na Marekani wanaopenza wimbo wake ‘Chura’

Kuna watu waliokosoa Snura Mushi alipotoa wimbo wake ‘Chura’ – walisema kuwa wimbo huo hauzingatii maadili ya kijamii.

Ata hivyo kuna wale pia waliopenda wimbo huo, video yake unaonyesha Snura na wanawake wengine wakitingisha makalio zao.

download latest music    

wazito wa kimuziki kutoka Nigeria na Marekani ni miongoni mwa watu wanaopenda wimbo wake Snura. Akiongea kupitia kipindi cha Eight cha TVE, Snura alisema anafurahishwa na kuongezeka kwa idadi ya mashabiki.

“Nilishitushwa sana na producer Don Jazzy alivyo post video anaimba nyimbo yangu ya chura, nakumbuka aliposti pia hata video yake kwenye Instagram yake,Pia meneja wake Lil Wayne alipost pia nyimbo ya chura nilifurahi kuona watu wameielewa,” alisema Snura.

 

About this writer:

Martin Oduor

Ultimate keyboard ninja dedicated to bringing you the juiciest stories on blogosphere