Steve Nyerere: Dudubaya Aombe Msamaha na Atengwe

Msanii wa Bongo movie Steve Nyerere ameibuka na kumtolea Povu zito Msanii wa Bongo fleva Godfrey Tumaini maarufu kama Dudubaya Baada ya kutoa maneno na Chafu dhidi ya Marehemu Ruge Mutahaba.

Steve Nyerere, amesema kama kuna msanii anamzungumzia vibaya marehemu Ruge Mutahaba kwa sasa jkama anavyofanya Rapa Dudu Baya basi anapaswa kutengwa kwani hakuna binadamu aliye mkamilifu.

download latest music    

Steve amesema Ruge amefungua milango kwa vijana wengi na kutoa fursa waweze kufanikiwa huku akiweka wazi kuwa atamkumbuka milele.

Kwenye mahojiano aliyofanya na Bongo 5, Steve ameongea haya:

 

About this writer:

Diana

I am a hard working young woman Aspiring writer with dreams larger than life itself, always living by the principle that live today like there is no tomorrow.