Vanessa Mdee aandikiwa ujumbe huu na Juma Jux

Hata baada ya kuachana na Vanessa Mdee, msanii kutoka bongo Juma Jux ameonekana kuwa bado na hisia za kumpenda mremboh huyu.

Hivi karibuni kupitia mtandao wake wa kijamii, Jux aliandika ujumbe ambao umewaacha mashabiki wakifikiria kuwa ujumbe huo ulikuwa wa Vanessa Mdee.

download latest music    

Aliandika kusema;

Nakumbuka mara ya mwisho kufanya party ya Birthday yangu ilikuwa 2013, Miaka minne iliyopita. Sikuwahi kufanya party yoyote tena sababu nilikuwa na rafiki, mpenzi na mtu wa karibu kuliko mtu yoyote kwenye maisha yangu. Miaka yote iliyofata nilikuwa na yeye mpaka sasa atuko tena karibu kama mwanzo, Tumebaki kuwa marafiki wa kawaida tu. Uwepo wake tu ulikuwa ni zaidi ya chochote kwenye siku yangu ya kuzaliwa, Kuongea na yeye au txt yake tu ilitosha kukamilisha siku yangu. Ila sasa sidhani kama itakuwa kama mwanzo. Nitafarijika sana kama nitamuona hiyo siku. This time nataka kuparty na watu wangu nani anataka kuparty na mimi katika siku ya birthday yangu ?

About this writer:

Pauline Syombua

Content Developer IG: Kermbua