Walivyobebwa majeruhi wa ajali Arusha na ndege maalum ya Marekani (Video)

Mapema jana watoto watatu majeruhi wa ajali Arusha walisafirishwa kwa ndege maalum kupelekwa Marekani kwa ajili ya matibabu zaidi.

Watatu hao waliponea vifo baada ya gari walilokua wakisafiri kupata ajali mbaya ambalo lilisababisha vifo vya watu 32.

download latest music    

Ndege maalum ambalo lina vifaa kama vya hospitali lilitua katika uwanja wa Kimataifa wa Kilimanjaro kuchukua majeruhi hao watatu.

Ndege hilo liliwasafirisha mbaka Charlotte North Carolina, Marekani ambapo walipelekwa moja kwa moja hospitali kuu mjini Charlotte kwa ajili ya kuimarishwa kiafya.

Tazama video hapo chini uone jinsi ambavyo majeruhi hao walisafirishwa:

About this writer:

Martin Oduor

Ultimate keyboard ninja dedicated to bringing you the juiciest stories on blogosphere