Wasanii Wakubwa Bongo Wanaosikilizwa Sana Nchini Kenya.

Wapo wasanii wanaofanya vizuri sana bongo na kazi zao imekuwa zikionekana mpaka nje ya nchi.wapo wanaoendelea kufanya vizuri ili kukuza muziki huona kuufanya upendwe nje ya nchi.Msanii mkongwe kutoka Kenya amewataja wasanii wakubwa tanzania ambao wamekuwa wakisikilizwa sana katika radio na kila mkona nchini kwao Kenya.

Diamond Platinumz.

download latest music    

Diamond ni msanii mkubwa na mwenye kujituma sana.ukiachana drama na skendo nyingi anazokumbana nazo Diamond lakini ni msanii ambae kwa kipindi cha muda mfupi aliweza kupata mafanikio makubwa na kuweza kusaidia wengine kimuziki.kwake yeye mafanikio yake na ya wengine kumuziki ndio kipaumbele kuliko kitu kingine chochote.

Ali kiba.

Amekuja ni mmoja wa wasanii wanaopendwa sana kwa manjonjo na sauti yake anapokuwa jukwani.alikiba ni msanii anaependwa sana na wakina dada kutokana na mvuto alionao.Alikiba amekuwa ni moja ya wasanii wakubwa tanzania kwa miaka mingi tangu aanze muziki.yeye ni moja ya wasanii wakongwe wasiochuja Afrika Mashariki.

Vannesa Mdee

Ukiongelea wasanii wa kike wakubwa waliopata mafanikio kwa  juhudi zao yeye ni namba moja.vannesa amekuwa msichana hasikuwa na aibu katika kusimama na kuitetea kazi yake.siku zote amekuwa ni mtu wa kuthubutu kufanya jambo lolote lifanikiwe.Hajawahi kukata tamaa lakin i pia amekuwa anajituma ili kuendeleza muziki wake.Sasa hivi ameta album yake na amekuwa akizunguka nchi mbalimbali kwa ajili ya kusambaza nyimbo zake.

Wasanii wengine aliowataja ni pamoja na Ben Pol, Chegge na Chin Beez.

 

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.