Wema Sepetu atupiana maneno na mkongwe wa Bongo Movies Jimmy Mafufu

Wema Sepeti aliwakashifu wasanii wa Bongo Movie katika Instagram yake siku tatu zilizopita – alidai wasanii hao ni wanafki  kwasababu waliaacha kuongelea kupotea kwa mwimbaji Roma Mkatoliki badala yake wakapost kuhusu ishu ya kukutana na Mkuu wa Mkoa ili kuongelea ishu za filamu za Wafilipino na Wakorea.

“This Is Scary… Ni Janga kubwa sana kwa wasanii, kwa wananchi na Kwa Taifa letu kiujumla… Kinachonishangaza ni kuona baadhi ya wasanii wa Bongo movie wamekazana kupost eti wapo kwa Mkuu wa mkoa wakiongelea WaKorea na Waphilipino…. Mlikumbuka kumuuliza Mheshimiwa alipo Roma na Moni…??? Au ndo mambo ya kila mtu anaangalia lake…. Au labda mpaka atekwe msanii wa Bongo movie pia ndo akili itatukaa sawa…??? Oh God help Us Please… Lakini pia wala sitoshangaa hata kama akitekwa msanii wa bongo movie hakuna atakaehangaika within Us zaidi ya wananchi peke yao na watu wetu wa karibu… Tumejawa sana Unafki…!!! All in All namuonea sana huruma Nancy…. Our prayers are with u mama… Inshallah mumeo atapatikana… Tuzidi kumuomba Mungu…..??????…. Kabla sijasahau, Tuwage tuna hata fikra za kujua tupo kwenye wakati gani na tupost vitu gani….!!! Yaani mtu kapotea siku ya pili mko busy na kupost Wakorea na Waphilipino…?? ??? SMH…” Wema Sepetu aliandika kwa Instagram.

download latest music    
Wema Sepetu

Post yake mrembo huyo ilimkera mkongwe wa Bongo Movies Jimmy Mafufu ambaye alisema Wema ndiye kinara wa wanafki.

“Hata kama hao Team Wema wanitukane vipi, sitaacha kusema ukweli, huyo aliyewaita Bongo movie Wanafiki, yeye ndiye kinara wao asitake kuharibu jina la Bongo Movie na asiwapangie watu cha kuposti kwani nani asiyejua kuwa yeye ni mnafiki? Sitaacha kumwambia ukweli acha watu waendelee kunitusi,” alisizitiza,” Jimmy Mafufu alisema.

Jimmy Mafufu

Wema Sepetu aliendele kumtumpia maneno Mafafu kupitia ukurasa wake wa Instagram baada ya msanii huyo wa Bongo Movies kumwita kinara wa wanafki:

“Nyie wengine ambao mnatokwa mapovu, Ujumbe umefika… Kumbe mnajijua eeh…? Afadhali hata mngekaaga kimya tu…. Maana mnaongea vitu havina hata maana… Alafu I pity all of you…???Sijui niseme Elimu ama ni Exposure tu… Ama ni lack of simple knowledge & common sense… Anyways, ngoja tuone… SMH… Kesho nayo ni siku… Goodnyt world… Oh..! Before I forget, feels good to be 1 against many…. Sad part is eti most of them are grown Men….!!! Y’all shud Man Up first…!!! Ila kama nawaona nyama choma yenu pale leaders if Next atakuwa mimi….????? (nimetania tu)… Usiku mwema jamani…”

 

 

 

About this writer:

Martin Oduor

Ultimate keyboard ninja dedicated to bringing you the juiciest stories on blogosphere