Wolper aeleza kinachomfanya kunona sana

Watu wengi wanadai kuwa kula kwingi ndiyo kinacho sababisha Jackline Wolper kuongeza uzito. Kuna ata wale ambao wanasema mwigizaji huyo wa filamu za Bongo havutii tena.

Nini haswa kinasababisha mwili wake Wolper kuwa mnene? Wolper mwenyewe amekiri kuwa pombe ndiyo inayomsababishia unene.

download latest music    

“Unajua sikuwa mnywaji na nilikuwa nikiichukia pombe sababu nikinywa ndio napata hamu zaidi ya kula chakula kingi, hivyo kwa sasa nimeanza harakati za kurudisha mwili wangu wa mwanzo uliokuwa ukinionyesha vizuri kwa mashabiki wangu na pia nipo kwenye harakati za kuachana na unywaji wa pombe,” Wolper alieleza.

 

 

 

About this writer:

Martin Oduor

Ultimate keyboard ninja dedicated to bringing you the juiciest stories on blogosphere