Wolper akumbwa na haya baada kuonyesha uso wa mpenzi wake

Wolper ambaye anatoka na kijana amayeaminika kuwa Mudigi wake ameanza kuchambuliwa na mashabiki ambao wanamtambua.

Ingawa wameamua kutoficha mapenzi yao, kuna tatizo kwani picha moja ya Brown imeachiwa kwenye mitandaoni akionekana na mwanaume mwenzake na hivi sasa watu wanadai kuwa Brown amewai kuwa na mpenzi wa jinsia moja.

Mpenzi mpya wa Wolper, Brown

Ingawa hakuna dhibitisho tosha kuhusu picha hiyo, wengi bado wajiuliza maswali kwani Brown na huyo mwanaume huyo wanaonekana wakiwa katika pozi kitandani.

Hata hivyo Brown na Wolper hawajazungumzia jambo hili…lakini tunatarajia kuyasikia maoni yao. Tazama picha hiyo hapa;