Diamond takes low blow shot at Ali Kiba’s wife

Fans have criticized Diamond Platnumz for including Alikiba’s wife Amina Khalef in his dispute with Kiba.

Kiba was criticized by Diamond for being less successful in the music business than him and for allegedly having a romantic relationship with his wife.

Usiongee maana habari yangu hadi na Amina nadhani unayo….”

Usiongee maana habari yangu hadi na Amina nadhani unayo….”
His social media fans were not pleased with this, claiming that Diamond should have only fought Alikiba directly.

Fans of social media pundit Mange Kimambi have criticized Diamond for his slanderous remarks against Alikiba’s wife.

“…Mkome Amina kama ulivyokoma titi la mamako. Unataka kumwaribia msichana wa watu maisha yake kwa ukutafuta kiki?…..Uwe unaangalia na wanawake wa kuwachafua…… Huoni hata huruma kumwaribia heshma yake mwanamke anaejiheshimu,…………hivi unajua kuwa umemtia doa yule mwanamke? do you realize that??”

“Yule msichana wa watu anajitunza, anajistiri leo umtaje kwenye ujinga? Of course watu hawawezi kuamini ila still jina lake limeshachafuka..Guys ni hivi sio tu kwamba Amina hajawahi kudili na huyo (Diamond)  anaesubiri ku-OD ila ni hivi, Amina hawajawahi hata kumuona live, yani hajawahi hata kumtia machoni kwa mbali.

We (Diamond) huwezi na hutokaaa kupata mwanamke kama Amina, utawapata hao hao wanawake wasiojielewa, mwanamke anaetoka na wewe hajielewi wala hajithamini..Nakurudia mkome Amina kama ulivyokoma ziwa la mamako.

Umekosa fimbo ya kumchapia Kiba umeona umwaribie Amina reputation yake?”

 

About this writer:

Ozymandias

My name is Ozymandias, King of Kings; Look on my Works, ye Mighty, and despair! Nothing beside remains. Round the decay