Karen Nyamu angered by NTV journalists questions about her sordid affair with Samidoh

Senator nominee Karen Nyamu justified her relationship with Samidoh by pointing out that it is a legally sanctioned one. In the Kigoda Chako segment of NTV Kenya Live, she was asked about becoming a second wife by the TV host.

“Kuliendaje ukamchukuwa mzee ambao hakua wako? Wanasema wewe ni mrembo kweli kweli eh,,Wanaume walienda wapi.”

Nyamu did not appreciate this inquiry.

“Unajua sheria vizuri? Unazijua sheria? Enda uangalie sheria ambayo eh…ya polygamy. Ambayo imepitishwa kwa hii bunge yetu.

Kwa hivyo hizo maswali ambazo unaniuliza naona kama hazina nguvu mkono wala mguu kwasababu sijavunja sheria yeyote kukuwa katika situation mimi niko.

Pale kuna watoto sidhani hizo maswali munaniuliza kama ndio ilinileta hapa. Sidhani.”

She was informed by the interviewer that it affects her leadership,

“Lakini ni maswala ya uongozi. Watu wakikuona kama? Karen Nyamu ambaye ameteuliwa na serikali ya Kenya Kwanza uko uongozoni. Wakikuona kama kiongozi…”

“Nafuata sheria. Sheria ya polygamy. Naifuata kabisa kwasababu sheria hazijatengenezewa nyani ama nani, zimetengenezewa sisi na ndio nazifuata hizo sheria.”

 

About this writer:

Ozymandias

My name is Ozymandias, King of Kings; Look on my Works, ye Mighty, and despair! Nothing beside remains. Round the decay